WAZIRI MKUU AISHUKURU TIGO KUWA MDHAMINI RASMI WA INTANETI KATIKA MKUTANO WA 39 WA SADC


 Mkuu wa Mauzo – Tigo Business, Kadambara Maita, akimkaribisha Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa katika banda la Tigo, lililopo katika mkutano wa 39 wa jumuiya ya maendeleo ya Kusini mwa Afrika SADC unaondelea jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Mwalimu Julius Nyerere.


Waziri Mkuu aishukuru Tigo kwa kuwa mdhamini rasmi wa intaneti itakayotumiwa na wageni wanaohudhuria mkutano wa 39 wa jumuiya ya maendeleo ya Kusini mwa Afrika SADC.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa atembelea banda la Tigo na kuwapongeza kwa kuwa wadhamini rasmi wa intaneti itakayotumika kwenye mkutano wa 39 wa jumuiya ya maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC ) unaondelea jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Mwalimu Julius Nyerere. Tigo ndio kampuni ya mawasiliano pekee yenye mtandao wa kasi wa 4G+.

Wafanyakazi wa Tigo wakimkaribisha Waziri Mkuu wa Tanzania, Mh.Kassim Majaliwa, katika banda la Tigo, lililopo katika mkutano wa 39 wa jumuiya ya maendeleo ya Kusini mwa Afrika SADC unaondelea jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Mwalimu Julius Nyerere.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527