Ninazo hapa nyimbo za Manju/Msanii wa nyimbo za asili Sonda Kabeshi kutoka Mwasele Shinyanga Mjini anayepatikana kwa simu namba 0785009781. Sonda Kabeshi anaimba kwa Kisukuma bila kutumia vifaa vya muziki...Msikilize hapa kwenye hizi nyimbo zake tatu ikiwemo Shiku Ja mhelo, Watoto Yatima na Namhala wakula. Sikiliza hapa chini