PICHA: Waziri Lugola Aongoza Kikao Cha Tume Ya Utumishi Ya Polisi, Uhamiaji Na Magereza Jijini Dar Es Salaam, Leo

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kulia) akizungumza na Wajumbe  wa Tume ya Utumishi ya Polisi, Uhamiaji na Magereza wakati wa kikao cha kujadili utendaji wa vyombo vilivyopo chini ya Wizara yake.
Kikao hicho kilifanyika jijini Dar es Salaam, leo. Wapili kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Jacob Kingu. wapili kushoto ni Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, (CGF), Thobias Andengenye, na kushoto ni Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Robert Boaz. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. 

   Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Jacob Kingu (kushoto) akizungumza katika Kikao cha Tume ya Utumishi ya Polisi, Uhamiaji na Magereza cha kujadili utendaji wa vyombo vilivyopo katika Wizara hiyo. Kikao hicho kilifanyika jijini Dar es Salaam, leo. Kulia ni Waziri wa Wizara hiyo, Kangi Lugola.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kulia) akizungumza na Wajumbe wa Tume ya Utumishi ya Polisi, Uhamiaji na Magereza wakati wa kikao cha kujadili utendaji wa vyombo vilivyopo chini ya Wizara yake. Kikao hicho kilifanyika jijini Dar es Salaam, leo.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kulia meza kuu) akizungumza na Wajumbe wa Tume ya Utumishi ya Polisi, Uhamiaji na Magereza wakati wa kikao cha kujadili utendaji wa vyombo vilivyopo chini ya Wizara yake. Kikao hicho kilifanyika jijini Dar es Salaam, leo. Kushoto meza kuu ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Jacob Kingu. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments