Breaking : WATU 60 WAMEKUFA,60 KUJERUHIWA BAADA YA LORI LA MAFUTA KUWAKA MOTO MORO
Saturday, August 10, 2019
Watu zaidi ya 60 wamekufa na wengine 70 kujeruhiwa baada ya lori la mafuta kupinduka na kuwaka moto eneo la Msamvu mkoani Morogoro. Inadaiwa chanzo ni watu kutaka kuiba betri kutoka kwenye tenki hilo lililokuwa limepinduka leo asubuhi huku wengine wakiiba mafuta ndipo moto ukalipuka.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin