Watu zaidi ya 60 wamekufa na wengine 70 kujeruhiwa baada ya lori la mafuta kupinduka na kuwaka moto eneo la Msamvu mkoani Morogoro. Inadaiwa chanzo ni watu kutaka kuiba betri kutoka kwenye tenki hilo lililokuwa limepinduka leo asubuhi huku wengine wakiiba mafuta ndipo moto ukalipuka.