KIGOGO WA SIMBA CREAM TANGA ATUA KWENYE SHEREHE ZA TAWI LA SIMBA DUGA,ATAKA MSHIKAMANO


 KATIBU Msaidizi wa Tawi la Simba Cream la Jijini Tanga Edgar Mdime ambaye pia ni Mweka Hazina kulia akilakiwa na wanachama wa Simba Tawi la Duga mara baada ya kuwasili kwa ajili ya sherehe za Simba Day

 KATIBU Msaidizi wa Tawi la Simba Cream la Jijini Tanga Edgar Mdime ambaye pia ni Mweka Hazina  kulia akisaliana na wanachama wa simba Tawi la Duga
 MMOJA wa viongozi na wanachama wa Simba Tawi la Simba Cream Jijini Tanga wakiwasalimia wenzao wa Tawi la Duga
 KATIBU Msaidizi wa Tawi la Simba Cream la Jijini Tanga Edgar Mdime ambaye pia ni Mweka Hazina kulia akiteta jambo na Katibu wa Tawi la Simba Duga Ramadhani Mlekwa wakati wa sherehe za Simba Day
 KATIBU Msaidizi wa Tawi la Simba Cream la Jijini Tanga Edgar Mdime kulia  ambaye pia ni Mweka Hazina kulia akiwa na viongozi wengine wakipata chakula  kwenye Tawi la Simba Duga wakati wa sherehe za Simba day
 Katibu wa Tawi la Simba Duga Ramadhani Mlekwa wakati wa sherehe za Simba Day akionyesha nembo ya simba 
Sehemu ya wana Simba wakiwa kwenye sherehe hizo
 Sehemu ya wana Simba wakiwa kwenye sherehe hizo
 MMOJA wa wana Simba akizungumza jambo wakati wa sherehe hiyo 
KATIBU Msaidizi wa Tawi la Simba Cream la Jijini Tanga Edgar Mdime ambaye pia ni Mweka Hazina kushoto akiwa na wanachama wa Simba Tawi la Duga  wakati wa sherehe za Simba Day

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527