WAZIRI MPINA ASHIRIKI MAZISHI YA JUMA NJARARI RORYA MKOANI MARA

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina akishirikiana na waomboleza kubeba mwili wa Ofisa Mfawidhi wa Usimamizi wa Rasilimali za Uvuvi na Kupambana na Uvuvi Haramu Kanda ya Ukerewe, Marehemu Ibrahim Juma Njarari aliyezikwa wa kijijini kwake Kyangasaga wilayani Rorya mkoani Mara.
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina akiweka udongo kwenye kaburi la Ofisa Mfawidhi wa Usimamizi wa Rasilimali za Uvuvi na Kupambana na Uvuvi Haramu Kanda ya Ukerewe, Marehemu Ibrahim Juma Njarari aliyezikwa wa kijijini kwake Kyangasaga wilayani Rorya mkoani Mara.
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina akikabidhi Hati ya Ushujaa iliyotolewa na Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa Familia ya Ofisa Mfawidhi wa Usimamizi wa Rasilimali za Uvuvi na Kupambana na Uvuvi Haramu Kanda ya Ukerewe, Marehemu Ibrahim Juma Njarari aliyezikwa wa kijijini kwake Kyangasaga wilayani Rorya mkoani Mara.Wengine ni Mkuu wa Mkoa wa Mara, Mhe. Adam Malima na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdalah Ulega
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina akikabidhi Hati ya Ushujaa kwa Familia ya Ofisa Mfawidhi wa Usimamizi wa Rasilimali za Uvuvi na Kupambana na Uvuvi Haramu Kanda ya Ukerewe, Marehemu Ibrahim Juma Njarari aliyezikwa wa kijijini kwake Kyangasaga wilayani Rorya mkoani Mara.
Mkuu wa Wilaya ya Rorya, Samson Chacha na Mkurugenzi wa Uvuvi, Magesse Bulayi wakiweka udongo kwenye kaburi la Ofisa Mfawidhi wa Usimamizi wa Rasilimali za Uvuvi na Kupambana na Uvuvi Haramu Kanda ya Ukerewe, Marehemu Ibrahim Juma Njarari aliyezikwa wa kijijini kwake Kyangasaga wilayani Rorya mkoani Mara.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527