TAZAMA HAPA TIMU 16 ZILIZOTINGA HATUA YA 16 BORA AFCON 2019 PAMOJA NA RATIBA

Baada ya timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' kupoteza mechi zake zote kwenye kundi C michuano ya Afcon zilizotinga hatua ya 18 hizi hapa na ratiba yake ipo namna hii:-

1.Egypt v South Africa

2.Madagascar v DR Congo

3.Nigeria v Cameroon

4.Senegal v Uganda

5.Algeria v Guinea

6.Morocco v Benin

7.Mali v Ivory Coast

8.Ghana v Tunisia


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527