ZITTO KABWE AIANDIKIA BARUA TAKUKURU AKITAKA ARUDISHIWE SIMU YAKE NA AOMBWE RADHI


Kiongozi wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amemwandikia barua Mkurugenzi Mkuu TAKUKURU akimtaka kumuondolea zuio katika mifumo ya uhamiaji

Zitto amesema kama anaonekana ana kosa basi apelekwe Mahakamani, pia ameomba kurejeshewa Laptop na simu yake na kuombwa radhi.





Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527