RAIS MAGUFULI: NINA ORODHA YA KAMPUNI ZAIDI YA 17,000 ZINAZOKWEPA KODI

Rais Magufuli amesema ana taarifa kuwa baadhi ya wafanyabiashara wamejenga viwanda kama geresha tu, wanatumia viwanda hivyo kupokea au kutunzia bidhaa kutoka nje bila kulipa kodi stahiki.

Amesema idadi ya kampuni hizo ni zaidi ya 17,000.

==>>Msikilize hapo chini


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527