![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiFbvIGZZ9o7dbFFWrr48hr6OkTIClWF4UXAaFSc1M3i_CUpi2GRKoSqH__Jb423jLKOO3e5deLl_7PVhdgSiH2qoLRnwGfszZOk-f6qOOnEwnNEASIPcijEjpiNLPn3woAZljwwpmJwL4/s1600/1.jpg)
Rais Magufuli leo Juni 7, amekutana na wafanyabiashara kutoka wilaya zote hapa nchini, pamoja na wajumbe wa Baraza la Biashara la Taifa (TNBC).
Mkutano huo umeanza saa 3:40 asubuhi hii katika ukumbi wa mikutano wa Kikwete, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Tazama hapo chini