VIJANA NCHINI KUNUFAIKA NA MAFUNZO YA NISHATI JUA KATIKA CHUO CHA UFUNDI ARUSHA (ATC)


Kaimu Mkuu wa Chuo cha Ufundi Arusha(ATC),Dk Masudi Senzia akizungumza wakati wa ufunguzi wa Kituo cha mafunzo ya nishati Jua kitakachosaidia kuwapa vijana stadi za kazi na kutoa fursa ya kujiajiri. 
Mwenyekiti wa Tanzania Renewable Energy Association (TAREA),Profesa Amini Kweka(kushoto) akizungumza wakati wa uzinduzi wa kituo hicho kitakachota mafunzo kwa vijana kutoka sehemu mbalimbali nchini. 
Mwenyekiti wa Tanzania Renewable Energy Association (TAREA),Profesa Amini Kweka(kulia) na Kaimu Mkuu wa Chuo cha Ufundi Arusha(ATC),Dk Masudi Senzia wakikata utepe kuzindua kituo cha mafunzo ya nishati Jua(Solar training centre) jijini Arusha. 
Mratibu wa taasisi ya Wataalamu wastaafu nchini Uholanzi(Netherlands Senior Experts),Wim Bredewold(kushoto) akizungumza wakati wa uzinduzi wa kituo hicho ndani ya Chuo cha Ufundi Arusha. 
Kituo hicho kitaendeshwa kwa pamoja kati ya Netherlands Senior Experts(PUM), Tanzania Renewable Energy Association (TAREA) na Chuo cha Ufundi Arusha(ATC). 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527