SERIKALI YASEMA NI NGUMU KULIPA FIDIA KWA WALIOATHIRIWA NA WANYAMAPORI


Waziri wa Maliasili na utalii amesema ni ngumu kwa serikali kuahidi kutekeleza ulipaji wa fidia kwa wananchi ambao wataathiriwa na wanyama pori au mazao yao, lakini inachoweza kulipa ni kifuta machozi.

==>>Msikilize hapo chini


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527