Rais Mstaafu Kikwete Amjulia Hali DC Kasesela Aliyelazwa Taasisi Ya Moyo Ya Jakaya Kikwete (JKCI)

Rais Mstaafu wa awamu ya nne Mhe. Jakaya Kikwete akizungumza na mkuu wa wilaya ya Iringa Mhe. Richard Kasesela kwenye taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete iliyopo ndani ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipolazwa kwa matibabu.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post