Mbunge wa Shinyanga mjini (CCM) na Makamu wa Rais wa Kwanza wa Bunge la Afrika (Pan - African Parliament -PAP), Stephen Masele akiwa mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge jijini Dodoma kujibu tuhuma za utovu wa nidhamu zinazomkabili