SERENGETI BOYS WASEMA WANA MATUMAINI YA KUTUSUA AFCON LICHA YA KICHAPO CHA BAO 5-4 JANA.... TAZAMA HAPA RATIBA YA LEO


Kocha mkuu wa timu ya taifa ya vijana ya Tanzania chini ya miaka 17 'Serengeti Boys' Oscar Mirambo amesema bado wana nafasi ya kupata matokeo michezo yao inayofuata licha ya kupoteza mchezo wa kwanza.


Serengeti jana ilifungua pazia la michuano hiyo kwa kucheza na Nigeria na kupokea kichapo cha mabao 5-4 mchezo uliochezwa uwanja wa Taifa.

Kocha Mirambo amesema vijana bado wana moto na uwezo upo wa kupata matokeo licha ya kuanza vibaya mchezo wao wa kwanza.

==>>Tazama hapo chini Ratiba ya michezo ya leo Kundi B


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post