BENKI YA NMB KANDA YA KASKAZINI ILIVYOSHIRIKI MBIO ZA KUMUENZI WAZIRI MKUU WA ZAMANI EDWARD SOKOINE


Wafanyakazi wa benki ya NMB Kanda ya Kaskazini wakishiriki mbio za kilometa tano za kumbukumbu ya Sokoine jijini Arusha. 
Maofisa waandamizi wa benki ya NMB Kanda ya Kaskazini wakishiriki mbio za kilometa tano za kumbukumbu ya Sokoine jijini Arusha. 
FURAHA;Wafanyakazi wa benki ya NMB Kanda ya Kaskazini wakifurahia baada ya kumaliza mbio za kilometa tano za kumbukumbu ya Sokoine jijini Arusha. 
Mmoja wa Wafanyakazi wa benki ya NMB Kanda ya Kaskazini akifurahia baada ya kumaliza mbio za kilometa tano za kumbukumbu ya  Sokoine jijini Arusha.
Meneja wa benki ya NMB Kanda ya Kaskazini,Aikansia Muro(kulia) na Meneja anayehusika na shughuli za serikali Kanda ya Kaskazini,Christabel Hiza  wakiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Usalama barabarani mkoa wa Arusha,Joseph Bukombe. 
Tutabaki Juu...... 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527