Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 24 Aprili, 2019 ameondoka kwenda nchini Malawi ambapo anatarajiwa kufungua msimu wa Soko la Tumbaku nchini humo.
Our website uses cookies to improve your experience. Learn more
Ok