RAIS MAGUFULI KUKUTANA NA WACHEZAJI WA TAIFA STARS LEO IKULU

Rais Magufuli atakutana na wachezaji wa Taifa Stars, viongozi wa TFF, Kamati ya Uhamasishaji na bondia Hassan Mwakinyo leo Machi 25, 2019, saa 4:00 asubuhi Ikulu, jijini Dar es Salaam. 

Taarifa iliyotolewa leo na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa inaeleza kuwa pamoja na mambo mengine, Rais pia atawapongeza na kula nao chakula cha mchana.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post