MKUU WA MKOA ATUA KIJIJI CHA KABALE KUKAMILISHA MAANDALIZI YA MAZISHI YA RUGE

Mkuu wa mkoa wa Kagera Brigedia Jeneral Marco Gaguti amefika nyumbani kijijini kabale, Bukoba katika msiba wa Ruge Mutahaba ili kuungana na kamati ya maandalizi kwa ajili ya kukamilisha mipango ya mazishi.

Mwili wa Ruge tayari umeshawasili nchini ukitokea Afrika Kusini na Utazikwa Jumatatu March 4, 2019 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527