MBUNGE WA CHADEMA ALAZWA KCMC

Mbunge wa Rombo, Joseph Selasini (CHADEMA) amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC mjini Moshi, ambapo alifikishwa Februari 27 mwaka huu. Mbunge huyo anasumbuliwa na shinikizo la damu.

Katibu wa Chadema, Mkoa wa Kilimanjaro Basili Lema amethibitisha kulazwa kwa Mbunge huyo.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527