MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU KUFANYA ZIARA KUANZIA KESHO SHINYANGA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya siku 6 mkoa wa Shinyanga kuanzia kesho Februari 26,2019 ambapo atapokelewa Tinde katika Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527