AKAMATWA NA POLISI KWA KUWALISHA WANANCHI NYAMA YA MBWA AKIWAAMBIA NI YA MBUZI


Mkazi wa kijiji cha Mitonji,kata ya Mbuyuni wilayani Masasi Mkoani Mtwara,Dismasi Malikitu maarufu kizito,anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kosa la kuwauzia wananchi nyama ya mbwa huku akiwadanganya ni nyama ya mbuzi.


Mtendaji wa Kijiji cha Mitonji,Yunisi Makolo amethibitisha kuhusu tukio hilo.

==>>Sikiliza hapo chini

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527