![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgp2qo3z6Td9ZA2CUdaOApqpfEb1j-xRWOB5F3C0NB5RsKVErlOVRwXaE-2JkQ5e_gl2l7NcQvM0ynicPYL3PpsC5g0EiyV5dXRaxWRpFXgaFl0OwWQkLBZpawHOyCejwgnuntzBXNKppA/s640/1.jpg)
Buhari ameshinda kwa kura millioni 15 akiwa zaidi kwa kura millioni 4 zaid ya mpinzani wake Atiku aboubakar . Hata hivyo, Upinzani wamekataa matokeo hayo.
Chama cha Buhari kimeshinda majimbo 19 kati ya 36 , wakati chama cha upinzani cha PDP wakishinda majimbo 17.
Tume ya uchaguzi imesema kuwa itaangalia malalamiko yote kabla ya kutangaza Rasmi matokeo ya uchaguzi.