MKURUGENZI MPYA BENKI YA CRDB ATAMBULISHWA RASMI MWANZA


Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Benki ya Ushirika na Maendeleo Vijijini (CRDB), Abdulmajid Nsekela (aliyesimama) ametambulishwa rasmi kwa wafanyakazi na wateja wa benki hiyo Kanda ya Ziwa Mwanza na Shinyanga.

Hafla ya kumtambulisha Mkurugenzi huyo aliyechukua nafasi ya Dkt. Charles Kimei imefanyika Januari 29, 2019), katika ukumbi wa Gold Crest Hotel Jijini Mwanza ambapo Mwenyekiti wa Bodi ya CRDB, Ally Hussein Laay alibeba jukumu la kufanya utambulisho huo.

Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Mwenyekiti wa Bodi ya CRDB, Ally Hussein Laay akizungumza kwenye hafla hiyo.
Wageni mbalimbali wakiwemo wateja na viongozi wa CRDB pamoja na viongozi wa serikali.
Wateja na wafanyakazi wa CRDB wakiwa kwenye hafla hiyo.

Tazama Video hapa chini





Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527