Video mpya " MCHEZAJI WA MANCHESTER MEPHRIS DEPAY - NO LOVE

Aliyekuwa mchezaji wa Manchester United na sasa akiitumikia klabu ya Lyon ktoka nchini Ufaransa pia akiitumikia timu yake ya taifa ya Uholanzi Memphis Depay ameachia video ya wimbo wake.

Mchezaji huyo ambaye alishawahi kujihusisha na mambo ya muziki kwa mara kadhaa, kwa wakati huu ameamua kuwa serious kweny muziki na kuamua kuachia video ya wimbo wake wa “No Love”.

Wengi wamekizungumzia hiki kwamba huenda ni kwasababu ameachwa na mpenzi wake ambaye inasemekana anatembea na msanii kutoka nchini Marekani Trey Sonngs

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post