Picha 6 : MUONEKANO WA MAKTABA YA KISASA UDSM


Majengo mbalimbali ya Maktaba ya Kisasa ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambayo imefunguliwa jana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli. Maktaba hio ina uwezo wa kuchukua Wanafunzi 2100 kwa wakati mmoja na uwezo wa kuhifadhi vitabu 800,000 - PICHA NA IKULU

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527