RAIS MAGUFULI AMTEUA GUNZE KUWA MWENYEKITI WA BASATA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli leo ametangaza kumteua Habbi Gunze kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA).

Uteuzi wa Gunze umeanza rasmi October 1 2018, hivyo kwa sasa Baraza la Sanaa la Taifa, limeongezewa nguvu ambapo mwenyekiti mpya ataenda kushirikiana na Katibu mtendaji wa Baraza hilo Geofrey Mungereza kuleta maendeleo katika sanaa.

Advertisement

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527