Breaking : MAGARI MANNE YAGONGANA NA KUUA WATU 11 MBEYA


Watu 11wamefariki baada Magari manne kugongana katika mteremko wa Igawilo mkoani Mbeya.

 Inaelezwa kuwa Lori lililokuwa linatoka Rungwe kwenda Mbeya Mjini lilifeli breki na kuigonga Hiace ambapo ilipoteza mwelekeo na kuyagonga magari ya mbele yake.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527