HATIMAYE KIVUKO CHA MV NYERERE CHANYANYULIWA... HIKI HAPA KIANGALIE


Kivuko cha Mv. Nyerere kikiwa kimegeuzwa na kusimama wima leo mchana. Picha na Jovither Kaijage 

Hatimaye kivuko cha Mv Nyerere kilichopinduka Alhamisi Septemba 20, 2018 kimenyanyuliwa leo mchana Alhamisi Septemba 27, 2018.

Kivuko hicho kimenyanyuliwa baada ya jitihada za siku tano tangu Jumapili Septemba 23, 2018 zilizofanywa na wataalam wa uokoaji kutoka vyombo vya ulinzi na usalama wakiongozwa na maofisa wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ).


Na Peter Saramba, Mwananchi 

    Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

    Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527