MSIBA WA PATRICK WAMUIBUA LULU


Baada ya kimya cha muda mrefu, msanii wa filamu nchini Elizabeth Michael maarufu kama Lulu leo ameibuka na kuweka picha ya mshumaa kwenye mtandao wake wa Instagram.

Picha hiyo ameiweka leo Julai 4,2018 akiomboleza kifo cha mtoto wa rafiki yake, Muna Love.

Mtoto huyo, Patrick alifariki dunia Nairobi, Kenya jana usiku wa Julai 3,2018 akipata matibabu.

Lulu hajaonekana hadharani tangu alipotoka jela Mei mwaka huu.
Na Nasra Abdallah, Mwananchi

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527