Breaking News : RAIS MAGUFULI AMFUKUZA KAZI MKUU WA WILAYA YA KAHAMA - SHINYANGA
Sunday, July 15, 2018
Fadhili Nkurlu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mkoani Shinyanga Fadhili Nkurlu kuanzia leo.
Kufuatia hatua hiyo, Rais Magufuli amemteua Anamringi Macha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kahama.
Anamringi Macha ametakiwa kuripoti katika kituo chake cha kazi
mara moja.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com
Social Plugin