USTADHI ATUPWA JELA MIAKA 60 KWA KULAWITI MTOTO BUKOBA


Mahakama ya Hakimu Mkazi wilaya ya Bukoba mkoani Kagera imemhukumu Ustadhi Amoud Kyabushukuru kifungo cha miaka 60 baada ya kukutwa na hatia ya kumbaka na kumlawiti mtoto mdogo wa kike aliyekuwa akimfundisha somo la dini.
Chanzo-https://www.facebook.com/itvtz/

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527