HARMONIZE AMLIPUA WOLPER,AANIKA ORODHA YA WAPENZI WAKE "KIKOSI A"

Msanii wa Bongo fleva kutoka WCB Harmonize ameingia Tena Kwenye vita ya maneno na Ex girlfriend wake staa wa Bongo movie Jacqueline Wolper.


Tangu jana kumekuwa na taarifa kwenye mitandao ya kijamii zilizomuonyesha Wolper akimrushia Dongo Sarah ambaye ni mpenzi wa Harmonize kwa kumuita Mlezi wa wana baada ya taarifa kusambaa kuwa kamtosa Harmonize na kumchukua Mwarabu Fighter.


Baada ya dongo hilo la Wolper, Harmonize alitokwa na povu zito kwani kwa Kupitia ukurasa wake wa Instagram alimtetea mpenzi wake Sarah na kusema yeye sio Mlezi wa wana ila Wolper ndo Mlezi wa Wana na kuambatanisha na listi kamili ya wanaume wote aliokuwa nao Kwenye Mahusiano




Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527