Rais Dkt. John Pombe Magufuli ataungana na viongozi wa mataifa mbalimbali kuhudhuria sherehe za kuapishwa Uhuru Kenyatta kuwa Rais wa Kenya kwa kipindi cha awamu ya pili.
Sherehe hizo zitafanyika Jumanne Novemba 28, 2017 jijini Nairobi, Kenya.
Our website uses cookies to improve your experience. Learn more
Ok