KAMPUNI YA SOLAR YA SUNKING YATAMBULISHA BIDHAA BORA ZA UMEME JUA ARUSHA


Mkazi wa Arusha Mzava Nsanjiwa akitazama jiko linalotumia nishati ya jua katika banda la Kampuni ya Sola ya Sunking katika maonyesho yaliyofanyika kwa ajili ya kuhamasisha wakaazi wa Arusha kutumia bidhaa za sola zilizo bora, katika viwanja vya stendi ya Kilombero jijini Arusha.
Mkazi wa Jiji la Arusha Yohana (watatu kulia) akitazama bidhaa mbalimbali za majumbani zinazotumia nishati ya jua katika mabanda ya kampuni ya solar ya Sunking ,katika maonyesho yaliyofanyika katika viwanja vya stendi ya Kilombero jijini Arusha.
Mkazi wa Jiji la Arusha Yohana (watatu kulia) akitazama bidhaa mbalimbali za majumbani zinazotumia nishati ya jua katika mabanda ya kampuni ya solar Sister ,katika maonyesho yaliyofanyika katika viwanja vya stendi ya Kilombero jijini Arusha.
Mkazi wa Arusha Bi.Dora Mkini akitazama jiko linalotumia nishati ya jua kutoka katika kampuni ya Sunking katika maonyesho yaliyofanyika katika viwanja vya stendi ya Kilombero jijini Arusha.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527