Watu 17 wameokolewa baada ya boti ya MV Julius kuzama katika ziwa Victoria.Jeshi la Polisi linaendelea kufuatilia kubaini kama kuna watu waliosahaulika majini.
Taarifa zaidi inakuja hivi punde..
Chanzo-Muungwana blog
Chanzo-Muungwana blog
Our website uses cookies to improve your experience. Learn more
Ok