MATOKEO YA MECHI YA SIMBA NA YANGA


Dakika 90 za mtanange wa Ligi Kuu Vodacom Tanzania bara kati ya Simba na Yanga zimemalizika kwa timu hizo kutoka sare ya kufungana goli 1-1


Simba wamejipatia goli kupitia kwa Shiza Ramadhan Kichuya dakika ya 55,huku Yanga wakisawazisha katika dakika ya 57 kupitia kwa Obrey Chirwa.

Mechi ya miamba hao miwili ya soka Tanzania, Simba na Yan­ga imefayika leo Jumamosi Oktoba 28,2017 katika Uwanja wa Uhu­ru jijini Dar es Salaam.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527