Video: WCB WAKIONGOZWA NA DIAMOND - ZILIPENDWA

Wasanii wanaofanya kazi chini ya lebo ya muziki ya WCB Wasafi, pamoja na boss wa lebo hiyo Diamond Platnumz na wasanii wake Rayvanny, Harmonize , ,Lavalava , Queen Darleen, Rich Mavoko na msanii wa zamani wa Yamoto Band Marombosso ‘Mbosso’, wameachia video mpya ya wimbo unaitwa ‘Zilipendwa’,

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post