SERIKALI YAANZA KUHAKIKI NGO'S

Serikali leo imezindua rasmi zoezi la uhakiki wa mashirika yote yasiyo ya serikali (NGO) nchini.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma mapema leo asubuhi, Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Sihaba Mkinga amesema zoezi hilo linaanza leo hadi Septemba 4, mwaka huu.


Ameongeza kuwa, baada ya hapo Serikali itachukua hatua Kali dhidi ya NGO zote zitakazobainika kufanya kazi bila usajili.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post