Picha: MVUA YAHARIBU MIUNDO MBINU YA BARABARA BUKOBA

Mvua zinazoendelea kunyesha Bukoba mkoani Kagera zimeleta athari mbalimbali kwa wananchi ikiwa ni pamoja na kuharibu miundombinu ya barabara
Eneo la Bulila Kemondo Bukoba Vijijini ,Barabara ikiwa imekatika kufuata Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha na kuleta usumbufu kwa abiria kutoka eneo moja kwenda jingine.
Wananchi wanatakiwa kuchukua tahadhari katika kipindi hichi cha mvua zinazoendelea kunyesha.
Chanzo-Bukoba wadau blog

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post