HANSPOPE ABADILI UAMUZI WA KUJIUZULU SIMBA

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hanspope amerudi kundini Simba baada ya kufuta uamuzi wake wa kujiuzulu


Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano wa Simba, Haji Manara amethibitisha suala hilo na kusema Hanspope amerudi kundini baada ya kujiuzulu kutokana na sakata liloendelea ndani ya Simba.


"Rasmi Hanspope arejea kundini, afuta uamuzi wake wa kujiuzulu na ndio maana 'fans' wetu nawaomba mtulie hakuna kitakachoharibika, ni upepo mbaya ulipita na sasa umetulia, karibu tena kamanda Pope" alisema Haji Manara

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post