News Alert!! MBUNGE WA NYAMAGANA,MWANDISHI WA HABARI WAPATA AJALI YA GARI NA TREKTA



Watu watano akiwemo mwandishi wa habari wa gazeti la Mwananchi John Dotto  na mbunge wa Nyamagana Mkoani Mwanza Stanslaus Mabula wamenusurika kifo baada ya kupata ajali eneo la Dumila mkoani Morogoro.


Ajali hiyo imetokea usiku wa kuamkia leo imehusisha gari lao kugongana na Trekta lililokuwa likingia bila tahadhari barabara kuu .


Majeruhi hao wamelazwa katika Hospitali ya rufaa ya mkoa wa Morogoro.


 Chanzo: Mwandishi wa ITV Morogoro Vedasto Msungu

Tutawaletea taarifa kamili hivi punde

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post