
Baada ya kuahirishwa kwa mkutano huo, Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla ameandika kupitia account yake ya twitter haya……
“Kwa orodha tuliyonayo, kutangaza majina ya mashoga hadharani, ni sawa na kufungulia jini lililowekwa kwenye chupa!”-Kigwangalla.
“Kwa sababu za kimkakati, na ili kuepuka kuharibu ushahidi, tutalishughulikia jambo hili kwa namna nyingine, tutawajulisha matokeo kila hatua”-Kigwangalla.
Via>>Millardayo
Via>>Millardayo
Social Plugin