Saa chache baada ya kutakiwa kufika polisi na mkuu wa mkoa Paul Makonda kutoa taarifa juu ya madawa ya kulevya,Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima,Josephat Gwajima Amepost Ujumbe picha huu ambao wataalamu wa mambo wanadai kuwa ni kama jibu kwa Mheshimiwa Makonda