Malunde1 blog,Fahari ya Shinyanga kila weekend imekuwa na utamaduni wa kukuletea ngoma za asili..Leo tunakualika kutazama Ngoma ya Nyanda Beteli kutoka Kahama mkoani Shinyanga inaitwa "Ditogwagi".
Video hii kali na imetengezwa Angel Studio Recording za mjini Kahama ikiongozwa na Masesa anayepatikana kwa simu namba 0768075400
Bonyeza Play hapa chini ufaidi uhondo wa ngoma hii
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin