Tanzia :ALIYEWAHI KUWA WAZIRI WA ELIMU TANZANIA,JOSEPH MUNGAI AFARIKI DUNIA,RAIS MAGUFULI AMLILIA


Aliyewahi kuwa waziri wa Elimu na Mbunge wa Mufindi Joseph Mungai amefariki dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu.


Geofrey Mungai mtoto wa Marehemu amesema marehemu alipelekwa hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kuanza kutapika mfululizo na kudhaniwa kwamba alikuwa amekula kitu kibaya.

Joseph James Mungai alizaliwa tarehe 24 Oktoba 1943.

 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post