Mtandao wa habari wa Sahara ambao ulikuwa wa kwanza kuripoti kuhusu kuachiliwa kwa wasichana wa Chibok umechapisha ujumbe katika mtandao wake wa Twitter kuhusu ubadilishanaji wa wafungwa uliosababisha kuachiliwa kwao.
Maelezo bado hayajathibitishwa ,lakini mtandao huo unasema kuwa wasichana 18 wana watoto na kwamba walibadilishwa na makamanda wanne wa Boko haram .
Pia mtandao huo umeripoti kwamba wasichana hao wanaelekea mji mkuu wa Abuja.
Via>>BBC
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin