WASICHANA WA CHIBOK WALIBADILISHWA NA MAKAMANDA



Mtandao wa habari wa Sahara ambao ulikuwa wa kwanza kuripoti kuhusu kuachiliwa kwa wasichana wa Chibok umechapisha ujumbe katika mtandao wake wa Twitter kuhusu ubadilishanaji wa wafungwa uliosababisha kuachiliwa kwao.

Maelezo bado hayajathibitishwa ,lakini mtandao huo unasema kuwa wasichana 18 wana watoto na kwamba walibadilishwa na makamanda wanne wa Boko haram .

Pia mtandao huo umeripoti kwamba wasichana hao wanaelekea mji mkuu wa Abuja.
Via>>BBC

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post