Wafanyakazi 8 Wafukuzwa Kazi Kwa Sababu ya Unene Kupita Kiasi

Habari hii imeripotiwa na BBC ambapo imetokea nchini Misri kwenye television ya Taifa hilo ambapo imewafukuza kazi wafanyakazi 8 wa kike na kuwashauri waende wakapunguze uzito wa mwili.
Chama cha Radio na Televisheni nchini Misri ( ERTU) kimewapa wanawake hao muda wa mwezi mmoja kupunguza uzito kabla ya kuruhusiwa kuonekana tena kwenye television.
BBC
Tangazo hilo limezua lawama kutoka kwa watangazaji walioathiriwa ambapo mmoja wao Khadija Khattab, mtangazaji wa kituo cha Channel 2, amesema kuwa anataka watu ndio watazame kipindi chake na waamue wenyewe ikiwa ana uzito wa juu.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post