Video : Maalim‬ Seif na‬ Lowasa Walivyoshiriki Mazishi ya Rais Mstaafu wa Zanzibar Aboud Jumbe Mwinyi


Fuata kiambatanisho cha hapo chini kuangalia namna ambavyo Katibu Mkuu wa chama cha Wananchi CUF, ‪‎Maalim‬ Seif Sharif Hamad na ‪Edward‬ Lowasa walivyoshiriki katika mazishi ya aliyekuwa rais wa pili wa Zanzibar Mzee Aboud Jumbe Mwinyi yaliyofanyika Migombani mjini Zanzibar.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post