UEFA IMEIPANGA KRC GENK YA MBWANA SAMATTA KUNDI MOJA NA ATHLETIC BILBAO
Friday, August 26, 2016
Agosti 26, 2016 shirikisho la soka barani Ulaya UEFA lilichezesha droo ya kupanga makundi ya michuano ya UEFA Europa League, UEFA imepanga Makundi 12 tayari ambapo timu 48 zimepangwa nne nne kwa kila Kundi. KRC Genk ya Ubelgiji inayochzewa na mtanzania Mbwana Samatta imepangwa Kundi F pamoja na Klabu ya Athletic Club Bilbao ya Ligi Kuu Hipania.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin